Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » »

Picha,DJ Khaled kafikisha miaka 40 mwaka huu,jumba la kifahari alilonunua kama zawadi yale liko hapa.

dj-khaled-sony-records-640x475
DJ Khaled amemwaga dola milioni $3.8 kwenye jumba jipya la kifahari mjini Miami.Khaled ambaye kwao ni Miami amefikisha miaka 40 mwaka huu na kusheherekea kwa kujinunulia jumba hili. Nyumba ina vyumba 7 vya kulala, mabafu 7 na  Bwawa la kuogelea.
Marafiki wamemtania Khaled kuwa na uzito wake wanashanga jumba lake halina lift. Khaled pia amefungua mgahawa wake wa pili wa vyakula unaofahamika kama “FingaLicking”
1228-dj-khaled-new-house-zillow-4
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.