Mtangazaji wa BBC ya Uingereza amtaja Vanessa Mdee kwenye orodha ya wasanii 5 wa Afrika wa kuwaangalia zaidi mwaka 2016
Vanessa Mdee ametwajwa kwenye orodha ya wasanii 5 wa Afrika
wa kuwaangalia zaidi mwaka 2016 , orodha hiyo imetolewa na Mtangazaji
wa BBC ya uingereza, DJ Edu.
Vanessa ameshika namba mbili kupitia wimbo wake wa ‘Never Ever’, Hii ndio orodha kamili
5. A pass (Uganda)
4. Runtown (Nigeria)
3. Donald (Afrika kusini)
2. Vanessa Mdee
1. Ston bwoy (Ghana)
Vanessa ameshika namba mbili kupitia wimbo wake wa ‘Never Ever’, Hii ndio orodha kamili
5. A pass (Uganda)
4. Runtown (Nigeria)
3. Donald (Afrika kusini)
2. Vanessa Mdee
1. Ston bwoy (Ghana)
Mtangazaji huyo amedai wasanii hao ndio watafanya vizuri mwaka 2016Take note @djedu’s Top 5 ones to watch in 2016 @IAmPass, @iRuntown, @DonaldInDenial, @VanessMdee + No.1 @Stonebwoyb pic.twitter.com/YCIj5TFBdL— BBC Radio 1Xtra (@1Xtra) January 3, 2016
0 comments:
Post a Comment