Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » »

Cheketua ya Alikiba yaongoza kuwa nyimbo iliyopakuliwa mara nyingi zaidi Mkito 2015


Mtandao wa kuuza nyimbo za wasanii Mkito umetoa orodha ya wasanii ambao nyimbo zao zimeongoza kupakuliwa mara nyingi zaidi kwenye mtandao huo mwaka 2015.
Wimbo wa Alikiba ‘Chekecha cheketua’ umeongoza kupakuliwa mara nyingi zaidi kwa upande wa nyimbo zote zilizowekwa kwenye mtandao huo, umepakuliwa mara 47,000 ikifuatiwa na ‘Mpaka nizikwe’ ya Yamoto Band iliyopakuliwa mara 34,000 na ‘Nobody but me’ ya Vanessa Mdee iliyopakuliwa mara 33,000.
Hii ndio orodha kamili ya nyimbo zilizopakuliwa mara nyingi zaidi kwenye mtandao wa Mkito 2015
Top 5 Bongo Fleva
1. Alikiba – Chekecha Cheketua
2. Ney wa Mitego  & Diamond – Mapenzi au Pesa
3. Alikiba & Christian Bella – Nagharamia
4. Mo Music – Nitazoea
5. Ruby – Na yule
Top 5 HipHop
1. Safari – Nikki wa pili Feat. Joh Makini, Gnako, Nahreel,Jux, Vanessa Mdee & Aika
2. Viza – Navy Kenzo
3. Baba swalehe – Nikki wa Pilli
4. Don’t Bother – Joh Makini Feat. Aka
5. Nusu Nusu – Joh Makini
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.