MkuuwaWilayayaMufindi Bi MBONI MHITA
amewatakawazazinawaleziMkoaniIringakutosikilizamanenoyauzushikuwachanjozinazotolewakwaWatotonchinihuwazinamadhara,
badalayakewajitokezekwawingikwenyevituovyakutoleachanjoilikuwakingawatotonauwezekanowakushambuliwanamaradhimbalimbali.
TaarifayaofisiyahabarinamawasilianoyahalmashauriyaWilayayaMufindi,
imeelezakuwa ,Mkuuwawilayaaliyasemahayokatikakijiji cha SawalaWilayaniMufindiMkoaniiringawakatiakimwakilishaMkuuwaMkoawaIringakwenyeuzinduziwa
wiki yachanjokwawatotowenyeumriwachiniyamiaka 5
Mhitaamesemaendapowazazinawaleziwatasikilizamanenoyasiyonaukweliwowote,
watakuwawanahatarishaafyazawatotowaokwanikuzikosachanjohizomuhimukwaustawiwaMtotokutasababishawashambuliwenamaradhi,
kituambachokinahatarishauhaiwaMtoto.
AmesemachanjonimkakatimuhimunamuafakakatikakutokomezamaradhinakupunguzavifovyawatotolakinipiakupunguzagharamakubwaambazoFamilianataifakwaujumlalingetumiakatikakutibumaradhiyatokanayonamagonjwayanayozuilikakwachanjo.
Wataalamyaafyawamethibitishakuwa, chanjohuzuiatakribanivifomilionimbilihaditatukilamwakakutokananamaradhiyanayokigwakwachanjoikiwanipamaojanaNdui,
Polio, KifaduronaPepopunda,ujumbewachanjomwakahuuunasemaJamiiiliyochanjwanijamiiyenyeafyahukukaulimbiuikisemaChanjonizawadiyaMaisha.
Hii habari nimeifuatilia kwa makini lakini maneno hayajatenganishwa kuonesha au kubainisha tofauti ya neno moja na jingine.
ReplyDeleteahsante