Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » » SAMATTA MWANASOKA BORA AFRIKA, KADIABA ASHIKA NAMBA 2,

SAMATTA MWANASOKA BORA AFRIKA, KADIABA ASHIKA NAMBA 2,

Image result for BREAKING
 


 


 Mbwana Ally Samatta ndiyo wanasoka bora Afrika kwa wale wanaocheza ndani ya bara hili.
Samatta ameibuka mwanasoka bora kwa kuwashinda Muteba Kadiaba ambaye ni kipa mkongwe wa TP Mazembe na Bounedjah Baghdad wa Algeria anayekipiga Etoile du Sahel.
 
Image result for SAMMATA
 Samatta ametwaa tuzo hiyo kwenye utoaji utoaji tuzo za wachezaji bora zinazoendelea jijini Lagosi Nigeria.
Watanzania wengi walikuwa wakisubiri kwa hamu kufanyika kwa tuzo hizo ili Samatta aweke rekodi barani Afrik
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.