Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » »

Serikali ya Tanzania imefanya maamuzi ya kumsimamisha mwingine  December 23


December 23 2015 imenifikia taarifa ya maamuzi yaliyoamriwa na Serikali ya Tanzania ambapo Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi ya mwendokasi DART, Bi. Asteria Mlambo amesimamishwa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Tuhuma zilizotajwa kusababisha kusimamishwa kwa Mkurugenzi huyo ni ishu ya kukiukwa kwa kanuni za kumtafuta mtoa huduma wa mpito wa huduma za mabasi ya mwendokasi.
Katika kukiukwa kwa kanuni hizo, Serikali imesema kuna watumishi ambao watachunguzwa na kuchukuliwa hatua kwa kushindwa kumshauri vizuri Mtendaji Mkuu huyo.
Taarifa hiyo kutoka kwa Waziri George Simbachawene hii hapa..
WAZIRI II WAZIRI III
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.