Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » »


Mwandishi wa nyimbo za Rihanna asema Travi$ Scott ndio anachelewesha album ya ANTI kutoka.

rihanna
Glass John ameweka wazi kuwa boy friend wa Rihanna Travi$ Scott anachelewesha album mpya ya  Rihanna Anti kutoka.
Glass John ambaye aliwahi kufanya kazi na Chris Brown na Rihanna ametumia twitter kusema kuwa anajaribu kumshawishi Jay Z atoe album hii ila Travi$ Scott amekuwa akimshauri Rihanna asitoe album hii mpaka mashabiki waonyeshe kuitaka zaidi.
Glass John anasema kuwa wimbo kama “Kiss It Better” anataka utoke ila Travis Scott ndiye alimshauri Rihanna atoe “Bitch Better Have My Money,”.
Mwandishi huyu pia ameponda kitendo cha Travi$ Scott kumpeleka Rihanna kwenye club za mitaani ambazo huwa na fuji na kufyatuliana risasi.
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.