List ya wakali 20 waliokimbiza East Africa 2015.. Alikiba, AY, Vanessa, Diamond, Joh Makini nao ndani
Countdown ya siku zinazokamilisha mwaka
2015 inazidi kutiririka huku muziki ukionekana kuibeba vizuri ramani ya
East Africa kwenye level za kimataifa..!!
Najua watu wetu wamefanya kazi nzuri na kazi kubwa kuupeleka muziki kule ulipofika sasahivi.
Nimeikuta hii list kwenye ukurasa wa Citizen TV ya
Kenya, ambapo wao wameitangaza list yao ya mwaka, ngoma kali
zilizokimbiza zaidi kwa mwaka 2015… BIG UP sana yani, ni furaha kuona
akiwa Vee Money, King Alikiba, rapper Joh Makini, AY na Diamond Platnumz wote wamo !!
Hii ndio list ya midundo yote mtu wangu.
#20 >> The Kansoul Feat. Nameless– Moto wa Kuotea Mbali
19 >> Timmy Feat. All Stars– Welle Welle Rmx
#18 >> Dela– Mafeelings
#17 >> Timmy T Dat Feat. Kansoul– Tunakubali
#16 >> Dazlah Feat. Susumila– Kidekide
#15 >> Alikiba– Mwana
#14>> AY– Zigo
#13 >> Sauti Sol– Shake Yo Bam Bam
#12 >> Seroney– Shuga
#11 >> Elani–Nikupende
#10 >> Amos and Josh Feat. Rabbit King Kaka– Baadaye
#9 >> The Kansoul (Mejja Madtraxx)- Nyongwa
#8 >> Kristoff Feat. Frasha & Kingkaka – Dandia
#7 >> Diamond Platnumz Feat. Mr Flavour – Nana
#6 >> Kaligraph– Yego
#5 >> H-Art The band– Nikikutazama
#4 >> Avril– Nikumuona
#3 >> Vanessa Mdee Feat. K.O – Nobody But Me
#2 >> Octopizzo– Something for You
#1 >> Fena Gitu– African King
0 comments:
Post a Comment