Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » »

China wameamua mabadiliko kuanzia January 2016 kuhusu idadi ya watoto kwa wanandoa..

Tunajua na imekuwa ikifahamika kwamba kwa kipindi kirefu China wamekuwa na utaratibu wa kila wanandoa au wapenzi kuruhusiwa kuwa na mtoto mmoja tu… japo China wana Sheria hiyo bado ni nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi duniani !!
Kwa sasa China ina jumla ya watu Bilioni 1.35 ikifatiwa na India yenye watu bilioni 1.25… Kumekuwa na stori nyingi zikihusisha na mipango ya China kubadili Sheria ya mtoto mmoja kwa kila wanandoa na wapenzi, kilichonifikia ni kwamba tayari imepitishwa kwamba kuanzia January 1 2016 wanandoa na wapenzi wataruhusiwa kuwa na watoto wawili.
Msisitizo umetolewa na Serikali China kwamba uamuzi huu umetoka kwa wakati sahihi kwa sababu ya kuhakikisha kunakuwa na usawa kwenye umri watu wao wa China ambapo kwa sasa wazee na watu wazima ni wengi kuliko watoto na vijana.
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.