IRINGA
Vijana wametakiwa kuwa
wabunifu kwa kujiajiri na kuacha kutegemea kuajiliwa na mashirika mbalimbali ya
UMMA na binafsi
Hayo yamesemwa na afisa
misitu manispaa ya iringa bw.ROGAS ROKORE wakati akizungumza na country fm
ofisini kwake ambapo ametaja moja kati miradi inayoweza kumuwezesha kijana
kujikwamua kimaisha ni pamoja na ufugaji wa nyuki
Bw.ROKORE amesema faida
zinazo tokana na ufugaji wa nyuki ni pamoja na kuvuna asali ,nta,gundi maziwa
ya nyuki pamoja na dawa
Amesema changamoto
zitokanazo wakabili wafugaji wa nyuki ni
pamoja na elimu ndogo , ukosekanaji wa vifungashio vya asali na mazao mengine
ya nyuki .
MWISHO
0 comments:
Post a Comment