Country Fm Iringa 88.5 Iringa,91.1 Mbeya
Home » » Miaka 19 iliyopita siku kama ya leo meli ya Mv Bukoba ilipinduka

Miaka 19 iliyopita siku kama ya leo meli ya Mv Bukoba ilipinduka


Miaka 19 iliyopita siku kama ya leo meli ya Mv Bukoba ilipinduka na kuzama katika ziwa Victoria ikiwa takribani umbali wa kilometa 10 kabla ya kutia nanga bandari ya Mwanza.


Inakadiriwa watu zaidi ya 800 walipoteza maisha katika mkasa huo. Meli hiyo iliyokuwa na uwezo wa kubeba watu 500 inakadiriwa watu zaidi ya 1000 walikuwa wameabiri katika meli siku hiyo ya tukio kutokea bandari ya Kemondo, Kagera kuelekea jijini Mwanza.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu azilaze mahala pema roho za wote walifariki kutokana na mkasa huo.
Ahsante kwa maoni yako,endelea kusikiliza redio country fm Iringa-One community
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA COUNTRY FM

Pages

Pages

radio country fm,one community. Powered by Blogger.